Chombezo : Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili
Sehemu Ya Nne (4)
Manka: tobaaaaaaa yani unaenda kutumika kwa laki 6 ambayo wewe unapata kwenye boom jaman mbona ivo?!
Me nakwambia Eliza kama rafkiako uko mbele utaja kuozaaa ukidhani unakomoa wanaume kumbe unajikomoa mwenyeweeehttps://pseudepigraphas.blogspot.com/
Uchi utaisha huo utakaa kama wa bibi kizee utaisha mpaka ladha asee, watataka na wakufanye mpaka nyuma (kinyume na maumbile) mambo ya sodoma na gomora
Watakwambia hata mil 100 wanakupa watakuharibu nyuma huko ukija kuzaa wewe unawekewa magozi kama waarabu maana kupush mtoto sio mchezo unless ufanyiwe C - section!
(SCISSOR )
Nyie mademu wa udsm wajinga sana, na wewe Doreen
Na hao waarabu vepee?! Usikute na wewe unapigwa nyuma unajishaua
Doreen Kimya
Omana; Doreen mpenz usimsikilize mchaga mshenzi tu huyu hana ishu, nyuma au mbele mwili ni wa kwako, embu niambie hawa waarabu unawapata wapi?! Na wewe Eliza nipe namba ya dalali Steve nataka client mie naona umezubaa me mwili wangu utauzwa mil 10 kwenda mbele staki ujinga
Manka: oh my gooood! Nilijua tu bibie huyu wa kipare na njaa zake lazima arukie
Me nawaambia mtanikumbuka maneno yangu wasenge sana nyie mademu, na kwenye upuuzi wenu msinishirikishe, nini lakini mnafanya?!
We Doreen hata kama ni yatima lakini Mbona Mungu amekusaidia umefaulu umepata mkopo haujawahi kufeli darasani, kitu gani kinakufanya mkajiuze uze namna hii
Mbona hamna dignity kabisa?! Class ya kipare imeenda wapi?!
We Eliza kwenu si mna hela lakini?! Unajiuza kwasababu wanaume wa kuumizana? ! Get over it sio wa kwanza kuumizana nyau wewe, my gaaad!
embu mie nirudi hostel naona mnaniboa tu hapa na ujinga wenu
Manka akainuka huyooo akaondoka zake kawaacha warembo wanashangaa
Tuonane Tar 19 August saa 12 jioni
-----------------------------------------------------
SEHEMU D:
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
CLARA
Bwana bwana asikwambie mtu watu mtagombaaaaana huku duniani mtakimbizaaaaaana huku duniani lakini Mchaga wa Marangu mwisho waambo yote
Kwanza ni wazuri, weupeeee wengi wetu ni weupeee, wachache ni weusii
Ukimkuta Marangu mweusi ni mweusi mzuri ananata, laini kama asali, soft kweli kweli mtamu, ameumbikaaa mshepu kama QueenVeeBosset wa Kenya kama sio Beyonce au Nick Minaj, mzuuuriiii kweli kweli
Wale weupe bwana ni moto wa kuotea mbali kabisa
Totoz wa kichaga wa Marangu kwanza tunajijua, tunanataaa, hatupaparikii wanaume, wanaume wanatupaparikia sisi aki ushakutana na wachaga wazuuuuuriiiiiii si nyie watanzania mnasemaga wachaga huwa ni wazuri ambacho hamjui ni kwamba wachaga wazuri ni wa Marangu tu sio wamachame
Wamachame bwana wale hehe me naogopa hata kusema ujue sijazaa, wachaga wa kimachame sasa nakufundisha jinsi ya kumjua
1. Juu wanene chini wembamba na viguu vyembamba kama fidodido au chelewa za mifagio afu weusiiii ila wanakuwaga na baby face za hatariii ila orijinal mmachame bwana anamaziwa makuuubwa juu chini hana shape wala nini yani tunawaitaga alama P.
Sikuhizi kuna wale wamachame waliochanganya changanya kama akina Manka na dada zake, waliochanganya makabila labda unakuta mama kabila lingine baba mmachame
Hao ndio wanakuwaga na mashepu kama nguva wa baharini au kama wale nguva katuni za watoto hao ndio wamachame ni hao tu
Ni ngumu sana kumkuta mmachame OG amegawanyika kishape hamna wote wana shape P
Afu wamachame wale bwana tunawaita wapalestina, hehe yani ukiwakosea tu kidogo wanakuua wana hasira wale binadamu wale we acha kabisa
Unajua historia ya wamachame imetokea Sudan Kusini, watu hawajuani tu sijui kwanini wanawaitaga wapalestina, si unajua zamani watumwa walikuwa wanasafirishwa sana ee, sasa watumwa waliotokea machame bwana walikuwa wanatokea Sudan kusini ebana ee wale watu wana hasira, alafu wana hela alafu wana mila!
Ivi Ushawahi ona Mtz akacheza na mali ya mmachame akabakia salama!? Yani mali ya machame haichezewi ovyo, wale wajinga wana mila nchi zima wataenda kusoma kozi pale. Wamachame wana mila sana kuliko wachaga wote mkoa wa Kilimanjaro. Usicheze na mali yoyote ya mmachame kuanzia mke mpaka watoto mpaka material mali.
Wamachame wa kiume hawanaga shida kama atakuoa wale wakaka ni wapole sana sana, ila gusa mali yake baba weweee, utanasa na kufa hapo hapo
Ila wachaga wakike mama, hao huwa wanasifa moja sana tu ni wachapa kazi hakuna mfano, yani ukimwajiri mmachame kampuni yako itafanikiwa sana lakini mwisho wa zote utakuja kumkuta kajenga kwao ghorofa, Hehehe chezea mmachame wewe, sawa nakuzalishia ila jua mwisho wa siku kwetu lazima nirudishe mrejesho
Wamachame wote wakike au wa kiume ukiwaajiri tu bro, mwisho wa siku Kubali matokeo kama wewe utakuwa na gorofa 2 yeye analo 1 na nyumba ndogo 2
Hautajua amekuibia saa ngapi na wapi, ila wamachame wezi bwana kha!
Ila hawa wamachame waliochanganya makabila sio wezi maana hawajui mila, mila zinafundishwa na mama sana sana, sasa kama mama sio mchaga mila inakufa ndio maana wachaga wa kale hawakupenda sana kaka zao wakaoe mikoa mingine na wale walioolewa waliisoma namba wanasemwaa ili waondoke na wasipoondoka wanateseka sana na mila za kimachame ni ngumu mno
Sasa hawa kuku wa kidhungu wa kimachame hawajui hata mila kudadeki, mama zao si sio wachaga basi wapo wapo ila ni wafanyakazi na wachapa kazi wazuri sana.
Pili hawa wachaga wa kichotara hawajui kuiba
Ni wasema ukweli, ni wa kweli na katika wachaga waaminifu na wanaojitunza ni wadada wa kimachame, awe pure mmachame au amechanganya umachame
Wamachame wale orijinal mama na baba, waliozaa watoto wakike wakaja wakaolewa zamani walikuwa wanaua wanaume pale mwanaume akiwa na mali nyingi, anamuua ili azimiliki yeye arudishe moshi mahesabu ila hao ni wachaga wa zamani
Hawa wa mwendo kasi waliozaliwa kuanzia miaka ya 80 hawapo ivyo, na wamachame sio gold diggers ni hard workers, hasa hawa waliochanganya wanaojiita machotara wa kichaga (half-cast wa kichaga)
Kingine me ninachoona watz hawakielewi kuhusu wachaga ni kwamba, wanasema usioe mchaga mmachame atakuua amiliki mali sio kweli
Kama kweli unataka kuoa mchaga kaoe umachameni, trust me najua nachokwamboa Penny, hawa wanawake ni fighter
Ushawahi skia wachaga kwa pesa bwana ndo wenyewe, wanawake wa kimachame humkuti akikaa ndani amejibweteka anasubiri hela kwa mume kama wadada wa kimarangu
Wao wanafanya kazi kwa bidii hata kama ana degree au masters atauza nyanya, vitenge, dagaa, vocha, tigo pesa, atalima vitunguu, karanga, viazi, hawachaguagi kazi wamachame wote wakike na kiume hawana kinyaa na biashara
yani zile biashara za kijinga jinga wao ndio wanafanya kwaiyo ukioa mmachame bwana ujue umeoa a Gold medal lady, hamtakaa mfe maskini wala mlale na njaa
Imani ya wamachame ni moja tu kama pesa ipo hata Tsh 10 usiiachie, si ni pesa? !
Ndio maana wanaume wa kimachame wanakuwaga matajiri sana maana ni watafutaji hata dada zao
Na kwasababu ni watafutaji sana imefika sehemu dada zao hawataki kuolewa kwao wanataka kuolewa kwengine ambao watazalisha zaidi yao basi tu wanataka sifa wadada wa kichaga
si unajua mafahari wawili hawakai zizi moja?!
Ikafika sehemu sasa wanaume wa kimachame wakaamua kutoka na kuoa nje ya uchaga na kuleta makabila tofauti na ya kwao uchagani, ndio tukaishia kuwapata hawa akina chotara wa kichaga wanaringa ringa huku kwenye mitandao kama akina naniliuuuu
Nawashauri wale waoaji wangeaza kubadilisha upepo, mademu wa kimachame ni wachapakazi wafanyakazi wazuri sana na hamtakaa mfe maskini
Na kwasababu watu wengi hawajui wanawakimbia wachaga wa kimachame hawataki kuwaoa mwisho wa siku wadada wa kimachame wanaolewaga na wazungu na wengi kwasababu wanakuwa na misimamo sio walegeza kamba; wengi wao wanaolewaga wakiwa mabikra...
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Hakuna mwanaume anaetaka kuoa jike dume, wanaume wanawaitaga wanawake wa kimachame kuwa ni majike dume maana ni wachapakazi na watafutaji, ndio maana wadada wengi wa kimachame wanachelewa kuolewa wanaanza kuolewa miaka 33 hata 50 bado anakuwa anaolewa wengine hata 60, si anajua kutafutaaa?! Na wazungu wanawapenda sana...upo penny?!
Money penny: Nipo Clara! Kha! Skujua mie!
Clara: wamachame wengine wengi kwasababu ya uchapaji kazi zao, wengi wanaishia kuwa madaktari na wafanya biashara wakubwa wakubwa,
Ndio unaskia Dokta Massawe, Dokta Shoo, Dokta Lema, Dokta Ndossi, Dokta Swai, au ma Profesa wengi wanakuwaga wachaga wa machame si ni wanachapa kazi bwana afu wanakuwaga madokta wazuri sana....imagine penny sisi age yetu tuliozaliwa miaka ya 80 mpaka 90 wanaotutibia watoto wetu ni ma senior dokta hao wa kimachame, ukajiloga ukajipeleka kwa junior umeumiaaaa
Madokta wachache sana utakuta ni wa marangu afu wazuri,
Ukiskia mchaga mwizi basi ujue huyo mmachame kamili kwa baba na mama,
Wachaga wengine wezi ni wakibosho ila wakibosho wana roho mbaya sana na pia kwa wakibosho kunakuwaga na madokta
Ila wa kibosho wana roho mbaya sana, wana tamaa sana ila hawana tamaa kama wamarangu
Manka: akakohoa, bora uongee ukweli kabla sijaingilia kati shenzy kabisa, tena umwambie ukweli dada penny na mie nitafunga mjadala
Wezi wengine ni warombo, hawa ni wapole ila ndio wale wafanya biashara wa maduka ya rejareja akina Mangi ????????
Ukiskia naenda dukani kwa Mangi ujue huyo mrombo
Yani mrombo dukani kwake bwana hehe, duka la kuuza nafaka atauza na pampers atauza na mafuta ya taa, vibatari, always, vocha, pupils, biscuit, chokoleti, madaftari, peni, ufutio, tigopesa, atapika na chips nje kama sio mama ntilie, atauza na soda na bia yani duka la nafaka na mini bar hapo hapo kha! Chezea mrombo wewe!
Mrbo atauza hata kadi za krismas na za pasaka za besdei atauza na mashuka na mikeka atauza na mapazia duka mpja ilo yani mvurugano wa kufa mtu ???????? ila kwasababu watu hawajui kutofautisha wanaishia kutusema duka la mchaga bwana ni sheedah!
Ila wengi wao wanaume ni wapole sana, hata wanawake wao wapole sana wengi wao wanakuwaga manesi wanapenda kusomea unesi Muhimbili Hospital wamejaa kibao ma Nurse In charge ni warombo ????????
Turudi kwa wamarangu hao ndio moto ya kuotea mbali penny tena uandike vizuri watu wale we usiache hata kimoja
Ushaskia penny wanaume wanalalamikaga wachaga wanapenda hela, mademu wa kichaga wanapenda sana hela?!
Money penny : ndio boss nimeskia sana tena wanaume wananilalamikia nyie wachaga mnapenda sana hela
Clara: basi sio hawaelewi tu
Ndio kila mtu anapenda hela sio mchaga tu wanaopenda hela kila mtu sasa hivi anapenda hela hata msambaa sema waliowahi kuijua hela ni wachaga
Sasa wamarangu mama hao ndio sheedah
Wanaume wa kimarangu hawa hawana shida, ni wapole sana na wanajua kupenda sana sana sana ila sio fighter kama wanaume wa kimachame ila kama unataka kupendwaaa dada kaolewa Marangu utabebwa juu juu kupetiwa petiwaaa ndio zao kwanza wanajipenda kama wakongo, wanaoga kutwa mara 2 au 3 ni ma handsome balaa
Ila ndio vitombi hatarious ila wapole sana.https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Wanaume wa kimachame sio watu wa kupetipeti sijui kukupenda hawanaga iyo hao na warombo na wa kibosho hawana huo muda wao wanawaza pesa pesa duka duka mali mali ndio maana dada zao wanaolewa tanga, Iringa, uhayani, Zanzibar, hawataki ujinga wa kuzalishwa kama kiwanda, yani wanaume wa kimachame wanafanyaga wake zao kama kiwanda cha kufyatulia watoto na kule, yeye akishaleta chakula nyumbani ndio amekupa ndani ndio kiume, akishalipa ada za watoto kwake ndio kakupenda, hawajali kama una feelings, sijui kupetipeti na usiombe mumeo wa kimachame akapata ajali, atakuuliza lile duka umemwachia nani akili zao zawaza pesa pesa pesa ni sheedah! ??????
Ila sio wanaume wa kimarangu... ukimpata mwanaume wa kimarangu dada utatumbua wewe mkija kushtuka hamna hata mia, gari, nyumba, bado mmepanga, yani ni raha na shida juu ila kama unataka mapenzi kama wanaume wa kikongo au wa Kitanga au kizanzibari mama nenda kwa wamarangu ila ujue fyucha yako itakufa mapema yani wewe utakuwa na mali na mumeo mwanzoni mkifika miaka 50 wote mnapanda daladala mpaka mnakufa ??
Ila mmachame akikuoa utaendesha gari kuanzia unaolewa hata kama ni suzuki au passo mpaka unakufa unaendesha discovery 4, jaquar, ila karaha lake baba weee, hehe kama tanuru la moto
Sijui wale wanaoitwa viasaka wanaoolewa na wamachame inakuwaje na wanavumiliaje Mungu anajua.
Kwa kumalizia kabisa penny wadada wa kimarangu hao mama yangu acha kabisa
Naomba nikueleze kwa mafungu
1. Wanapenda hela
Ukiskia wachaga wanaopenda hela mademu, ni mademu wa kimarangu, kwao kufanya kazi ni mzigo, na kwasababu ni wazuri sana sana wanaona ah kwanini nifanyaje kazi kama DUME wakati me mwanamke mrembo nitachoka sana, wakati mwanaume yupo me nitaolewa tu
Yani kama hauamini chukua kioo, lipstic, rangi za kucha, makeup, dictionary, simu ya Nokia tochi, Samsung Note 5, weka kwenye chumba
Mwingize dada wa kimarangu na kimachame afu Waambie wachague vitu wanavyovipenda utajionea
Dada wa kimachame atachagua dictionary, Nokia tochi, atajiweka kwenye kona ataanza kusoma
Demu wa kimarangu atamuangaliaaa demu wa kimachame atasonya Mxiiiiuuuuu, atachukua kioo atajiangalia kama lipstic imepungua atapaka atachukua na makeup atapaka, atachukua rangi ya kucha atapaka weee, mwisho kabisa atachukua simu atawasha atafacebuka weee sasa ukifika usiku zima umeme, utaona mmarangu anavyosonyaaa simu imeisha chaji atajilaza
Mmachame atawasha tochi ataendelea kusoma dictionary yake
Nadhani hapo Umenielewa ????
Wamarangu Mungu kuwapa uzuri imekuwa kosa la jinai, hawataki kufanya kazi kabisaa, na Tabia hio imepelekea kuanza kutumia nguvu za giza kushinda kwa waganga wapate bwana wa kuwapenda, wapare bonge la bwana, wao wanapenda kuolewa na matajiri tu! Ndio kauli mbiu yao! Wanataka wanaume wa kuwajali kuwaprovidia, wanapenda maisha ya juu juu kabisaaa, hawataki washuke...
wengi sana wanaolewaga mapema miaka 24-27 hapo amechelewa maana anapiga mahesabu by miaka 30 nina watoto 2 by 35 nimefunga uzazi nakula maisha ?????? ??????????????????
Zamani walikuwa wanaoana wao kwa wao baadae wakaja kujua wanaume zao kama wakongo na mafahari wawili hawakai zizi moja wakaamua kuolewa njeeee kwa wasukumaaa huko babaaa ni sheedah, na hivi wasukumaaa wanapendaga totoz ngozi nyeupe walipatikanaje sasa?!
Sasa kule mademu wa kimarangu walienda na kauli mbiu moja, tujionyeshe tunafanya kazi sana, sisi sio wavivu kama wanavyotufikiria ili tupendwe sana, tu aminiwe mpaka tushirikishwe kwenye mali za wasukumaaa tukishazipata tu tunawaloga paaa mali zinarudi kwetu tunaanza kuzimiliki na kuzitumbua ????????
Nyooo! wamesahau kuwa Mungu anawaona, aliekwambia Msukuma analogeka nani?! Hakuna Mtz ana dawa kama Msukuma ila kwasababu ya kupenda huenda wasukumaaa hawana kauli kwa totoz na wake zao na huenda wanalogeka! Ila wadada wengi walioolewa usukumani wanaisoma namba sio kitoto!
Wadada wa kimarangu hawana kitu, wavivuuuu sio wachapa kazi kama wamachame....Na akiwa mchapa kazi ujue ana malengo uwe macho nae
Na sikuhizi kwasababu maisha yamekuwa magumu sana wengi wao wanaishia kujimaliza kwa kutoa miwili yao nyuma (kinyume cha maumbile) ndio maana watu wanaishia kusema wachaga wanapenda sana hela ndio maana wanaishia kufirwa!
We unadhani wamachame wanafirwa? ! Nani kasema?! ??
Hamna mmachame bwege hata siku 1, akafirweje kwanza?! wanafirwa hao wamarangu wapenda raha shenzy type kama Omana!
Alafu wala hawajali ....
Ajali ili iweje kama mtu anaishi peponi akiwa duniani ana hasara gani?!, nyie wanaume wapasueni tu marinda anajua atakapokulipizia maumivu yake, kwenye pesa zako kama sio mali zako na akikukamata na uchawi wake mama hauchomoki! Atakula raha milele hana shida... hiyo ni long term investment ooo! Italipa. .. wanasema the higher the risk the higher the return!
2. Wadada wa kimarangu wachoyo wana roho mbayaaa sana
Ni ule uzuri tu unawafunika ila ukikaa nao vizuri na kuishi nao hakuna dada wa kimarangu utakula hela yake, hakuna labda awe mzaliwa wa kwanza wa kimarangu, hao ndio wana roho nzuri ila hao akina Manka na wengine hamna kitu, ni sheedah usoni mzuri rohoni mbaya sana kama hamuamini waulizeni wasukuma kama wanaoa wachaga tena ?? washashtukiwa gademit ??
3. Wadada wa kimarangu wahuni sana
Yani kuanzia amevunja ungo mpaka anaolewa mama anaweza akawa amejaza timu 5 za wacheza mpira kwa idadi ya wanaume aliolala nao
Ila wamachame sio wahuni, hata wa wakibosho, warombo hawana Uhuni ila wamarangu baba ni moto wa kuotea mbali
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
4. Washirikina
Wanapenda kwenda kwa waganga wadada wa kimarangu tofauti na wamachame
Wamachame wengi wanapenda kushika dini na ndio maana walokole wengi ni wamachame na kibosho na rombo sio wamarangu
Ukimkuta mmarangu kaokoka huyo yupo kwenye mishen, kajifunika mwamvuli wa wokovu lakini muasili haiachi asili yake wanapenda kwenda kwa waganga sana ndio raha na ndoano yao ya kukamatia wanaume wanye hela
5. Ni malimbukeni
Kama mtu anakaa kwenye kioo masaa 100 anapata wapi literate extra? ! Na kwasababu hawana ile elimu ya juu kama wanazo pata wamachame kwa kujitosa wanakuwa very defensive kwenye maongezi, utaskia me mume wangu ana hela, wewe mpaka leo hajaolewa, lazima atafute kitu cha kukuumiza ujiskie vibaya, ulimbukeni wa kutumia mgongo wa bwana wake mwenye hela au mume wake mwenye hela ni usenge wakupitiliza, unaishia kumgrup kama classless creature!
Kujitangaza tangaza mali alizokuwa nazo kama limbukeni hata haujamuuliza keshajitangaza ehbjamani wadada wa kimarangu acheni usenge kwani mbona wamachame wana mali na hautakaa uzijue mpaka uzee?!
Kwanza umeulizwa kuhusu mali za mumeo?! Kiru!
basi atakufanya ujikite vbaya na inferior kumbe wewe upo better off kuliko yeye. Hii kama haujaishtukia hawa viumbe watakutesa ila kama umewaona wala hawakusumbui.
6. SIO MARAFIKI WA KWELI
Hakunaga Urafiki kati ya mmachame na mmarangu, hata sikumoja, kwasababu ya ulimbukeni wa wadada wa kimarangu na mashauzi ya kisenge. oh me bwana wangu ana hela, bwana wangu mwana jeshi, natembea na flani hata hakuna aliekuuliza kiru!
Na Tabia zao chafu za kimalaya, kutanguliza uchi mbele kuliko Mungu na kutumia akili zako ni usenge wa hali ya juu, yani wewe hauna tofauti na changudoa pale kona bar sinza! Unewafanya wamachame na wamarangu kutofautisha kwenye mambo mengi
Ukiwa uliza wadada wa kimarangu kwanini hawaingilikiki na wamachame Watakwambia wanatokea wivu sisi wazuri wao malugha lugha kwanza hata kuvaa hawajui (ambayo ni kweli wadada wa kimachame hawajui kuvaa)
Urafiki kati ya wadada wa wakibosho na kimachame asee ni MGUMU sana
Hapo zamani za wazee, kulikuwa na vita uchagani, kati ya wamachame na kibosho, vita ilivyoisha makabila mengine wakawapatanisha, walivyowapatanisha wakaambiwa wasameheane, wamachame waliwasamehe kweli ila wakibosho nadhani hawakuwasamehe,
Basi wamachame waliwapenda sana wakibosho, siku moja wakibosho walisubiri mpaka wamachame wamelala wakawachoma moto wamachame wote wakafa kijijini, hii ni historia ya kweli na imetokea kweli kijijini moshi kilimanjaro kama una babu au bibi kamwulize!
Tangu sikuhio wamachame waliobaki wakaapa kuanzia leo na kwa mila yetu, hatuna urafiki na wakibosho, wakaweka agano la damu na maombi ya kimila pale, sijui ndio laana ikatolewa angani kwa vizazi mpaka vizazi
Tangu siku hio wamachame na wakibosho urafiki nao ni mgumu sana haupo genuine!
Na wale waliojaribu kuwa positive wakaoana waliishia kuzaa watoto walemavu, wana matizo na watoto wao walikufa baadae! Nini shida ni mila baba mila
Ila kwasabahu watoto wa 4g hawajui hizi mila wanaona kama wanaonewa au wamelogwa ila ukweli ni kukaa na wazee wanaongea ukweli wote
Kwenye ile laana ilishasema hakuna mkibosho atakuwa rafiki na mmachame na wakioana ndoa isidumu na wakizaa watoto wasikue wafe so laana inafuatilia siku zote
Kama hauamini kaulize wazee wako watakwambia ndio maana urafiki kati ya kibosho na machame huwa haipo labda mfosi ila mwisho wa siku wanaishia kubaya!
Eh Money Penny nimechoka embu twende kwa Mangi tukanywe pombe basi nipoze koo nimeongea sana leo
Manka: leo Clara pamoja na u marangu wako umeongea kweli, na Mungu akubariki kwa kuwa mkwe
Penny me nakwambiaga kila siku hawa wamarangu ndio wanaotuharibiaga mitaani wote wachaga tunaonekana mbuzi tu kumbe wala
Si unajua samaki moja akioza wanaoza woteeee
Kingine! Ukiskia ma gold diggers, sasa wadada wa kimarangu ndio gold diggers wakubwa hawana mpinzani
Money penny: nikachoka, nikaishiwa kujibu kweli Manka Kweli.
SEHEMU E: ?
OPPORTUNITY COST (GHARAMA YA FURSA)
Usilolijua ni kama usiku wa giza, nani angeweza kujua kuwa nyuma ya pazia Pendo alikuwa na mpenzi wake wa siri?
Binti wa kichaga alieichukia ndoa kuliko neno chuki, alionekana mitaa ya Jolly Club au unaweza iita Isumba Lounge kwa sasa, na KIBOPA Mume wa mtu
wazungu wanasema ukiwa na Daddy Issues (Matatizo na Baba yako) lazima utatafuta bwana ambae ni mume wa mtu kujaza nafasi ya Baba yako kukipata usichokipata kwa baba yako
Ijumaa usiku wa saa 3, Pendo alionekana Jollys Club pale Aghakan Upanga na kibopa wa nguvu, kipoba maarufu, kibopa manyotaaa, mzazi ana mawe mjini kuliko maelezo
Sasa ngoja tuangalie ilikuwaje mpaka Pendo mama msimamo, akaamua kukata uzi,
Ilikuwaje mpaka ndege mjanja wa miaka 35 akaamua kunaswa kirahisi?
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Kwa habari za ukweli na za kuaminika toka kwenye midomo ya waliohusika; miaka 3 iliopita kwenye maisha ya Pendo na wadada wenzake, wadada wa makamo, baada ya kuona maisha yao ya sekta ya ndoa hayajawanyookea, waliunda kikundi cha kujifariji na kufanya maendeleo, walikuwa wadada wa 5, wachaga na wapare kwa ujumla! Kikundi kilikuwa kinaitwa RIPACH's(Maanake ni Rich Pare and Chaga's)
Kuna kitu kilikuwa kinakosekana kwenye maisha yao ambacho ni mapenzi na ndoa, na RIPACH'S ilikuwa kona yao ya kujifariji!
Wadada walikuwa wazuri sana sana, si unajua mademu wa kichaga walivyo wazuri na wadada wa kipare walivyo nomaa.
Ikatimia miaka 3 ya kusheherekea kuanzishwa kikundi hicho, wakaamua kujipeleka Zanzibar Vacation, kwa ajili ya mapumziko na kusheherekea birthday ya kikundi cha Ripach's
Katika maongezi na kutalii na kula na kunywa na kupiga picha na maongezi marefu Zanzibar, wakagundua kweli wanahitaji waume, wakiangalia vikundi vingine vyooote zinaozesha, vinafanya sherehe za anniversary za ndoa, vinafanya baby showers, sendoff, bridal showers, wakaamua kukata mzizi wa fitina.
Unajua Mpare bwana ni mpare tu, katika hicho kikundi alitokea Dada wa kipare na kutoa ideas mpya, ideas pasua kichwaaa, ideas za kimalaya, ideas za kukemea kama upo kwenye sehemu ya dini, ideas za kuchoma moto na kutupa kule, ideas mbayaaaaa
embu msikilize mpare alichoongea kwa kuwashauri wenzake:
Jomana: Jaman hili likundi lina nuksi, itabidi tuongezage members ambao wameolewa watutoe nuksi sasa, maana hata mabwana hatuna
Pendo: Ni kweli kabisa, huenda tukapokea upako kwa wenye ndoa, mimi najua kuna mahali tunakosea kuwajibu wanaume, mimi siamini kama hatukosi wanaume, mimi wanaume nawapata sana ila sijaelewa wapi nakosea labda katika kauli, sielewi au ni kwasababu nawachukia wanaume sana, naishia kuwajibu vibaya alafu mwisho wa siku nikija kutafakari wanakuwa wameshaondoka, nimewafukuza.
Jomana: mimi wanaume nawapata ila kwa kadri tunavyozidi kwenda tukifika karibu na mwisho wa safari wanatoweka, nimeshachumbiwa mara 3 mpaka sasa sijaolewa! naona nina nuksi kama sio ndugu sijui nifanyaje, hapa nina miaka 35 sielewi wapi nakosea, labda tukiwapata hao wake za watu huenda wakatuelekeza maana nimeshachoka
Mjumbe no 3: Hilo ni wazo zuri, lakini kuingiza watu ambao hatuwajui kwenye kikundi kwasababu tu ya kutaka kuolewe sioni kama ni suluhu, tuangalie kwanza dhima na dira ya kikundi inasemaje, kama tunataka mshauri wa ndoa tunaweza ajiri mmama akatusikiliza akatushauri tukamlipa ila kikundi hiki kumbukeni tulianzisha kwa ajili ya maisha yetu sisi single ladies, na vile tunajuana sana tangu utotoni hatuwezi kuongeza strangers watatusumbua maana hatuwajui
Mjumbe no 4: Ni kweli tumtafute tu mshauri atushauri, mama mtu mzima atusikilize wapi tunakosea akae nasi hata miezi 3 atuangalie maisha na nyendo zetu alafu atajua pa kutukosoa kwa kwanza, hamna haja ya kuweka watu wasiojulikana humu,
Mjumbe wa 5 (Mpare): Hapana mimi naona nina jicho la tofauti katika hili, niwaambie ukweli, hakuna mtu alietaka suluhu ya wanaume kama mwanamke ambae ameenda umri akaambatana na mwanamke mwenzake ili amshauri akafanikiwa
dawa ya moto ni moto, kama unataka kuolewa kaa na wanaume, wanawake sio sana, mimi kusema kweli tangu tumeachana mara ya mwisho nilifikiria sana sana kuona kwanini wadada wazuri kama sisi tuna hela, kazi, maisha mazuri hatuolewi.
Nikakaa nikatafakari nikaangalia kwanini wadada na wamama ofisini wanalalamikia ndoa zao na waume zao, nikajua tatizo ni sisi wanawake. kwanini wanaume watoke nje ya ndoa?Au na hilo hamlijui jamani? maana tusililie ndoa kumbe Mungu ndio amezuia tusiolewe, umri sio kitu hapa!
Wajumbe wote: tunajua sikuhizi wanaume wanatembeza nje kama mvua
Mjumbe wa 5: kwahiyo nikaamua kuanzia siku hio nitembee na waume za watu kwa kufanya research!
Wajumbe wote: heeeee?! huku wanashangaa, we mama imekuwaje?, wengine wanatukana we mpare mshenzi kabisa unaiba waume za watu? Acha umalaya weweee!
Mjumbe wa 5: sikilizeni nyie maboya, kama hamjui basi mnisikilize, hamna haja ya kunihukumu bila sababu!https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Wajumbe wote: wakaanza kulalamika hatutaki laana hatutaki laana
Mjumbe no 5: jaman sikilizeni basi kwani tunagombana?
Wajumbe wote: wakakaa kimya!
Mjumbe no 5: Opportunity cost? wangapi wanakumbuka waliposomaga chuo maana ya opportunity cost?
ITAENDELEA
Sehemu Ya Nne (4)
Manka: tobaaaaaaa yani unaenda kutumika kwa laki 6 ambayo wewe unapata kwenye boom jaman mbona ivo?!
Me nakwambia Eliza kama rafkiako uko mbele utaja kuozaaa ukidhani unakomoa wanaume kumbe unajikomoa mwenyeweeehttps://pseudepigraphas.blogspot.com/
Uchi utaisha huo utakaa kama wa bibi kizee utaisha mpaka ladha asee, watataka na wakufanye mpaka nyuma (kinyume na maumbile) mambo ya sodoma na gomora
Watakwambia hata mil 100 wanakupa watakuharibu nyuma huko ukija kuzaa wewe unawekewa magozi kama waarabu maana kupush mtoto sio mchezo unless ufanyiwe C - section!
(SCISSOR )
Nyie mademu wa udsm wajinga sana, na wewe Doreen
Na hao waarabu vepee?! Usikute na wewe unapigwa nyuma unajishaua
Doreen Kimya
Omana; Doreen mpenz usimsikilize mchaga mshenzi tu huyu hana ishu, nyuma au mbele mwili ni wa kwako, embu niambie hawa waarabu unawapata wapi?! Na wewe Eliza nipe namba ya dalali Steve nataka client mie naona umezubaa me mwili wangu utauzwa mil 10 kwenda mbele staki ujinga
Manka: oh my gooood! Nilijua tu bibie huyu wa kipare na njaa zake lazima arukie
Me nawaambia mtanikumbuka maneno yangu wasenge sana nyie mademu, na kwenye upuuzi wenu msinishirikishe, nini lakini mnafanya?!
We Doreen hata kama ni yatima lakini Mbona Mungu amekusaidia umefaulu umepata mkopo haujawahi kufeli darasani, kitu gani kinakufanya mkajiuze uze namna hii
Mbona hamna dignity kabisa?! Class ya kipare imeenda wapi?!
We Eliza kwenu si mna hela lakini?! Unajiuza kwasababu wanaume wa kuumizana? ! Get over it sio wa kwanza kuumizana nyau wewe, my gaaad!
embu mie nirudi hostel naona mnaniboa tu hapa na ujinga wenu
Manka akainuka huyooo akaondoka zake kawaacha warembo wanashangaa
Tuonane Tar 19 August saa 12 jioni
-----------------------------------------------------
SEHEMU D:
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
CLARA
Bwana bwana asikwambie mtu watu mtagombaaaaana huku duniani mtakimbizaaaaaana huku duniani lakini Mchaga wa Marangu mwisho waambo yote
Kwanza ni wazuri, weupeeee wengi wetu ni weupeee, wachache ni weusii
Ukimkuta Marangu mweusi ni mweusi mzuri ananata, laini kama asali, soft kweli kweli mtamu, ameumbikaaa mshepu kama QueenVeeBosset wa Kenya kama sio Beyonce au Nick Minaj, mzuuuriiii kweli kweli
Wale weupe bwana ni moto wa kuotea mbali kabisa
Totoz wa kichaga wa Marangu kwanza tunajijua, tunanataaa, hatupaparikii wanaume, wanaume wanatupaparikia sisi aki ushakutana na wachaga wazuuuuuriiiiiii si nyie watanzania mnasemaga wachaga huwa ni wazuri ambacho hamjui ni kwamba wachaga wazuri ni wa Marangu tu sio wamachame
Wamachame bwana wale hehe me naogopa hata kusema ujue sijazaa, wachaga wa kimachame sasa nakufundisha jinsi ya kumjua
1. Juu wanene chini wembamba na viguu vyembamba kama fidodido au chelewa za mifagio afu weusiiii ila wanakuwaga na baby face za hatariii ila orijinal mmachame bwana anamaziwa makuuubwa juu chini hana shape wala nini yani tunawaitaga alama P.
Sikuhizi kuna wale wamachame waliochanganya changanya kama akina Manka na dada zake, waliochanganya makabila labda unakuta mama kabila lingine baba mmachame
Hao ndio wanakuwaga na mashepu kama nguva wa baharini au kama wale nguva katuni za watoto hao ndio wamachame ni hao tu
Ni ngumu sana kumkuta mmachame OG amegawanyika kishape hamna wote wana shape P
Afu wamachame wale bwana tunawaita wapalestina, hehe yani ukiwakosea tu kidogo wanakuua wana hasira wale binadamu wale we acha kabisa
Unajua historia ya wamachame imetokea Sudan Kusini, watu hawajuani tu sijui kwanini wanawaitaga wapalestina, si unajua zamani watumwa walikuwa wanasafirishwa sana ee, sasa watumwa waliotokea machame bwana walikuwa wanatokea Sudan kusini ebana ee wale watu wana hasira, alafu wana hela alafu wana mila!
Ivi Ushawahi ona Mtz akacheza na mali ya mmachame akabakia salama!? Yani mali ya machame haichezewi ovyo, wale wajinga wana mila nchi zima wataenda kusoma kozi pale. Wamachame wana mila sana kuliko wachaga wote mkoa wa Kilimanjaro. Usicheze na mali yoyote ya mmachame kuanzia mke mpaka watoto mpaka material mali.
Wamachame wa kiume hawanaga shida kama atakuoa wale wakaka ni wapole sana sana, ila gusa mali yake baba weweee, utanasa na kufa hapo hapo
Ila wachaga wakike mama, hao huwa wanasifa moja sana tu ni wachapa kazi hakuna mfano, yani ukimwajiri mmachame kampuni yako itafanikiwa sana lakini mwisho wa zote utakuja kumkuta kajenga kwao ghorofa, Hehehe chezea mmachame wewe, sawa nakuzalishia ila jua mwisho wa siku kwetu lazima nirudishe mrejesho
Wamachame wote wakike au wa kiume ukiwaajiri tu bro, mwisho wa siku Kubali matokeo kama wewe utakuwa na gorofa 2 yeye analo 1 na nyumba ndogo 2
Hautajua amekuibia saa ngapi na wapi, ila wamachame wezi bwana kha!
Ila hawa wamachame waliochanganya makabila sio wezi maana hawajui mila, mila zinafundishwa na mama sana sana, sasa kama mama sio mchaga mila inakufa ndio maana wachaga wa kale hawakupenda sana kaka zao wakaoe mikoa mingine na wale walioolewa waliisoma namba wanasemwaa ili waondoke na wasipoondoka wanateseka sana na mila za kimachame ni ngumu mno
Sasa hawa kuku wa kidhungu wa kimachame hawajui hata mila kudadeki, mama zao si sio wachaga basi wapo wapo ila ni wafanyakazi na wachapa kazi wazuri sana.
Pili hawa wachaga wa kichotara hawajui kuiba
Ni wasema ukweli, ni wa kweli na katika wachaga waaminifu na wanaojitunza ni wadada wa kimachame, awe pure mmachame au amechanganya umachame
Wamachame wale orijinal mama na baba, waliozaa watoto wakike wakaja wakaolewa zamani walikuwa wanaua wanaume pale mwanaume akiwa na mali nyingi, anamuua ili azimiliki yeye arudishe moshi mahesabu ila hao ni wachaga wa zamani
Hawa wa mwendo kasi waliozaliwa kuanzia miaka ya 80 hawapo ivyo, na wamachame sio gold diggers ni hard workers, hasa hawa waliochanganya wanaojiita machotara wa kichaga (half-cast wa kichaga)
Kingine me ninachoona watz hawakielewi kuhusu wachaga ni kwamba, wanasema usioe mchaga mmachame atakuua amiliki mali sio kweli
Kama kweli unataka kuoa mchaga kaoe umachameni, trust me najua nachokwamboa Penny, hawa wanawake ni fighter
Ushawahi skia wachaga kwa pesa bwana ndo wenyewe, wanawake wa kimachame humkuti akikaa ndani amejibweteka anasubiri hela kwa mume kama wadada wa kimarangu
Wao wanafanya kazi kwa bidii hata kama ana degree au masters atauza nyanya, vitenge, dagaa, vocha, tigo pesa, atalima vitunguu, karanga, viazi, hawachaguagi kazi wamachame wote wakike na kiume hawana kinyaa na biashara
yani zile biashara za kijinga jinga wao ndio wanafanya kwaiyo ukioa mmachame bwana ujue umeoa a Gold medal lady, hamtakaa mfe maskini wala mlale na njaa
Imani ya wamachame ni moja tu kama pesa ipo hata Tsh 10 usiiachie, si ni pesa? !
Ndio maana wanaume wa kimachame wanakuwaga matajiri sana maana ni watafutaji hata dada zao
Na kwasababu ni watafutaji sana imefika sehemu dada zao hawataki kuolewa kwao wanataka kuolewa kwengine ambao watazalisha zaidi yao basi tu wanataka sifa wadada wa kichaga
si unajua mafahari wawili hawakai zizi moja?!
Ikafika sehemu sasa wanaume wa kimachame wakaamua kutoka na kuoa nje ya uchaga na kuleta makabila tofauti na ya kwao uchagani, ndio tukaishia kuwapata hawa akina chotara wa kichaga wanaringa ringa huku kwenye mitandao kama akina naniliuuuu
Nawashauri wale waoaji wangeaza kubadilisha upepo, mademu wa kimachame ni wachapakazi wafanyakazi wazuri sana na hamtakaa mfe maskini
Na kwasababu watu wengi hawajui wanawakimbia wachaga wa kimachame hawataki kuwaoa mwisho wa siku wadada wa kimachame wanaolewaga na wazungu na wengi kwasababu wanakuwa na misimamo sio walegeza kamba; wengi wao wanaolewaga wakiwa mabikra...
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Hakuna mwanaume anaetaka kuoa jike dume, wanaume wanawaitaga wanawake wa kimachame kuwa ni majike dume maana ni wachapakazi na watafutaji, ndio maana wadada wengi wa kimachame wanachelewa kuolewa wanaanza kuolewa miaka 33 hata 50 bado anakuwa anaolewa wengine hata 60, si anajua kutafutaaa?! Na wazungu wanawapenda sana...upo penny?!
Money penny: Nipo Clara! Kha! Skujua mie!
Clara: wamachame wengine wengi kwasababu ya uchapaji kazi zao, wengi wanaishia kuwa madaktari na wafanya biashara wakubwa wakubwa,
Ndio unaskia Dokta Massawe, Dokta Shoo, Dokta Lema, Dokta Ndossi, Dokta Swai, au ma Profesa wengi wanakuwaga wachaga wa machame si ni wanachapa kazi bwana afu wanakuwaga madokta wazuri sana....imagine penny sisi age yetu tuliozaliwa miaka ya 80 mpaka 90 wanaotutibia watoto wetu ni ma senior dokta hao wa kimachame, ukajiloga ukajipeleka kwa junior umeumiaaaa
Madokta wachache sana utakuta ni wa marangu afu wazuri,
Ukiskia mchaga mwizi basi ujue huyo mmachame kamili kwa baba na mama,
Wachaga wengine wezi ni wakibosho ila wakibosho wana roho mbaya sana na pia kwa wakibosho kunakuwaga na madokta
Ila wa kibosho wana roho mbaya sana, wana tamaa sana ila hawana tamaa kama wamarangu
Manka: akakohoa, bora uongee ukweli kabla sijaingilia kati shenzy kabisa, tena umwambie ukweli dada penny na mie nitafunga mjadala
Wezi wengine ni warombo, hawa ni wapole ila ndio wale wafanya biashara wa maduka ya rejareja akina Mangi ????????
Ukiskia naenda dukani kwa Mangi ujue huyo mrombo
Yani mrombo dukani kwake bwana hehe, duka la kuuza nafaka atauza na pampers atauza na mafuta ya taa, vibatari, always, vocha, pupils, biscuit, chokoleti, madaftari, peni, ufutio, tigopesa, atapika na chips nje kama sio mama ntilie, atauza na soda na bia yani duka la nafaka na mini bar hapo hapo kha! Chezea mrombo wewe!
Mrbo atauza hata kadi za krismas na za pasaka za besdei atauza na mashuka na mikeka atauza na mapazia duka mpja ilo yani mvurugano wa kufa mtu ???????? ila kwasababu watu hawajui kutofautisha wanaishia kutusema duka la mchaga bwana ni sheedah!
Ila wengi wao wanaume ni wapole sana, hata wanawake wao wapole sana wengi wao wanakuwaga manesi wanapenda kusomea unesi Muhimbili Hospital wamejaa kibao ma Nurse In charge ni warombo ????????
Turudi kwa wamarangu hao ndio moto ya kuotea mbali penny tena uandike vizuri watu wale we usiache hata kimoja
Ushaskia penny wanaume wanalalamikaga wachaga wanapenda hela, mademu wa kichaga wanapenda sana hela?!
Money penny : ndio boss nimeskia sana tena wanaume wananilalamikia nyie wachaga mnapenda sana hela
Clara: basi sio hawaelewi tu
Ndio kila mtu anapenda hela sio mchaga tu wanaopenda hela kila mtu sasa hivi anapenda hela hata msambaa sema waliowahi kuijua hela ni wachaga
Sasa wamarangu mama hao ndio sheedah
Wanaume wa kimarangu hawa hawana shida, ni wapole sana na wanajua kupenda sana sana sana ila sio fighter kama wanaume wa kimachame ila kama unataka kupendwaaa dada kaolewa Marangu utabebwa juu juu kupetiwa petiwaaa ndio zao kwanza wanajipenda kama wakongo, wanaoga kutwa mara 2 au 3 ni ma handsome balaa
Ila ndio vitombi hatarious ila wapole sana.https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Wanaume wa kimachame sio watu wa kupetipeti sijui kukupenda hawanaga iyo hao na warombo na wa kibosho hawana huo muda wao wanawaza pesa pesa duka duka mali mali ndio maana dada zao wanaolewa tanga, Iringa, uhayani, Zanzibar, hawataki ujinga wa kuzalishwa kama kiwanda, yani wanaume wa kimachame wanafanyaga wake zao kama kiwanda cha kufyatulia watoto na kule, yeye akishaleta chakula nyumbani ndio amekupa ndani ndio kiume, akishalipa ada za watoto kwake ndio kakupenda, hawajali kama una feelings, sijui kupetipeti na usiombe mumeo wa kimachame akapata ajali, atakuuliza lile duka umemwachia nani akili zao zawaza pesa pesa pesa ni sheedah! ??????
Ila sio wanaume wa kimarangu... ukimpata mwanaume wa kimarangu dada utatumbua wewe mkija kushtuka hamna hata mia, gari, nyumba, bado mmepanga, yani ni raha na shida juu ila kama unataka mapenzi kama wanaume wa kikongo au wa Kitanga au kizanzibari mama nenda kwa wamarangu ila ujue fyucha yako itakufa mapema yani wewe utakuwa na mali na mumeo mwanzoni mkifika miaka 50 wote mnapanda daladala mpaka mnakufa ??
Ila mmachame akikuoa utaendesha gari kuanzia unaolewa hata kama ni suzuki au passo mpaka unakufa unaendesha discovery 4, jaquar, ila karaha lake baba weee, hehe kama tanuru la moto
Sijui wale wanaoitwa viasaka wanaoolewa na wamachame inakuwaje na wanavumiliaje Mungu anajua.
Kwa kumalizia kabisa penny wadada wa kimarangu hao mama yangu acha kabisa
Naomba nikueleze kwa mafungu
1. Wanapenda hela
Ukiskia wachaga wanaopenda hela mademu, ni mademu wa kimarangu, kwao kufanya kazi ni mzigo, na kwasababu ni wazuri sana sana wanaona ah kwanini nifanyaje kazi kama DUME wakati me mwanamke mrembo nitachoka sana, wakati mwanaume yupo me nitaolewa tu
Yani kama hauamini chukua kioo, lipstic, rangi za kucha, makeup, dictionary, simu ya Nokia tochi, Samsung Note 5, weka kwenye chumba
Mwingize dada wa kimarangu na kimachame afu Waambie wachague vitu wanavyovipenda utajionea
Dada wa kimachame atachagua dictionary, Nokia tochi, atajiweka kwenye kona ataanza kusoma
Demu wa kimarangu atamuangaliaaa demu wa kimachame atasonya Mxiiiiuuuuu, atachukua kioo atajiangalia kama lipstic imepungua atapaka atachukua na makeup atapaka, atachukua rangi ya kucha atapaka weee, mwisho kabisa atachukua simu atawasha atafacebuka weee sasa ukifika usiku zima umeme, utaona mmarangu anavyosonyaaa simu imeisha chaji atajilaza
Mmachame atawasha tochi ataendelea kusoma dictionary yake
Nadhani hapo Umenielewa ????
Wamarangu Mungu kuwapa uzuri imekuwa kosa la jinai, hawataki kufanya kazi kabisaa, na Tabia hio imepelekea kuanza kutumia nguvu za giza kushinda kwa waganga wapate bwana wa kuwapenda, wapare bonge la bwana, wao wanapenda kuolewa na matajiri tu! Ndio kauli mbiu yao! Wanataka wanaume wa kuwajali kuwaprovidia, wanapenda maisha ya juu juu kabisaaa, hawataki washuke...
wengi sana wanaolewaga mapema miaka 24-27 hapo amechelewa maana anapiga mahesabu by miaka 30 nina watoto 2 by 35 nimefunga uzazi nakula maisha ?????? ??????????????????
Zamani walikuwa wanaoana wao kwa wao baadae wakaja kujua wanaume zao kama wakongo na mafahari wawili hawakai zizi moja wakaamua kuolewa njeeee kwa wasukumaaa huko babaaa ni sheedah, na hivi wasukumaaa wanapendaga totoz ngozi nyeupe walipatikanaje sasa?!
Sasa kule mademu wa kimarangu walienda na kauli mbiu moja, tujionyeshe tunafanya kazi sana, sisi sio wavivu kama wanavyotufikiria ili tupendwe sana, tu aminiwe mpaka tushirikishwe kwenye mali za wasukumaaa tukishazipata tu tunawaloga paaa mali zinarudi kwetu tunaanza kuzimiliki na kuzitumbua ????????
Nyooo! wamesahau kuwa Mungu anawaona, aliekwambia Msukuma analogeka nani?! Hakuna Mtz ana dawa kama Msukuma ila kwasababu ya kupenda huenda wasukumaaa hawana kauli kwa totoz na wake zao na huenda wanalogeka! Ila wadada wengi walioolewa usukumani wanaisoma namba sio kitoto!
Wadada wa kimarangu hawana kitu, wavivuuuu sio wachapa kazi kama wamachame....Na akiwa mchapa kazi ujue ana malengo uwe macho nae
Na sikuhizi kwasababu maisha yamekuwa magumu sana wengi wao wanaishia kujimaliza kwa kutoa miwili yao nyuma (kinyume cha maumbile) ndio maana watu wanaishia kusema wachaga wanapenda sana hela ndio maana wanaishia kufirwa!
We unadhani wamachame wanafirwa? ! Nani kasema?! ??
Hamna mmachame bwege hata siku 1, akafirweje kwanza?! wanafirwa hao wamarangu wapenda raha shenzy type kama Omana!
Alafu wala hawajali ....
Ajali ili iweje kama mtu anaishi peponi akiwa duniani ana hasara gani?!, nyie wanaume wapasueni tu marinda anajua atakapokulipizia maumivu yake, kwenye pesa zako kama sio mali zako na akikukamata na uchawi wake mama hauchomoki! Atakula raha milele hana shida... hiyo ni long term investment ooo! Italipa. .. wanasema the higher the risk the higher the return!
2. Wadada wa kimarangu wachoyo wana roho mbayaaa sana
Ni ule uzuri tu unawafunika ila ukikaa nao vizuri na kuishi nao hakuna dada wa kimarangu utakula hela yake, hakuna labda awe mzaliwa wa kwanza wa kimarangu, hao ndio wana roho nzuri ila hao akina Manka na wengine hamna kitu, ni sheedah usoni mzuri rohoni mbaya sana kama hamuamini waulizeni wasukuma kama wanaoa wachaga tena ?? washashtukiwa gademit ??
3. Wadada wa kimarangu wahuni sana
Yani kuanzia amevunja ungo mpaka anaolewa mama anaweza akawa amejaza timu 5 za wacheza mpira kwa idadi ya wanaume aliolala nao
Ila wamachame sio wahuni, hata wa wakibosho, warombo hawana Uhuni ila wamarangu baba ni moto wa kuotea mbali
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
4. Washirikina
Wanapenda kwenda kwa waganga wadada wa kimarangu tofauti na wamachame
Wamachame wengi wanapenda kushika dini na ndio maana walokole wengi ni wamachame na kibosho na rombo sio wamarangu
Ukimkuta mmarangu kaokoka huyo yupo kwenye mishen, kajifunika mwamvuli wa wokovu lakini muasili haiachi asili yake wanapenda kwenda kwa waganga sana ndio raha na ndoano yao ya kukamatia wanaume wanye hela
5. Ni malimbukeni
Kama mtu anakaa kwenye kioo masaa 100 anapata wapi literate extra? ! Na kwasababu hawana ile elimu ya juu kama wanazo pata wamachame kwa kujitosa wanakuwa very defensive kwenye maongezi, utaskia me mume wangu ana hela, wewe mpaka leo hajaolewa, lazima atafute kitu cha kukuumiza ujiskie vibaya, ulimbukeni wa kutumia mgongo wa bwana wake mwenye hela au mume wake mwenye hela ni usenge wakupitiliza, unaishia kumgrup kama classless creature!
Kujitangaza tangaza mali alizokuwa nazo kama limbukeni hata haujamuuliza keshajitangaza ehbjamani wadada wa kimarangu acheni usenge kwani mbona wamachame wana mali na hautakaa uzijue mpaka uzee?!
Kwanza umeulizwa kuhusu mali za mumeo?! Kiru!
basi atakufanya ujikite vbaya na inferior kumbe wewe upo better off kuliko yeye. Hii kama haujaishtukia hawa viumbe watakutesa ila kama umewaona wala hawakusumbui.
6. SIO MARAFIKI WA KWELI
Hakunaga Urafiki kati ya mmachame na mmarangu, hata sikumoja, kwasababu ya ulimbukeni wa wadada wa kimarangu na mashauzi ya kisenge. oh me bwana wangu ana hela, bwana wangu mwana jeshi, natembea na flani hata hakuna aliekuuliza kiru!
Na Tabia zao chafu za kimalaya, kutanguliza uchi mbele kuliko Mungu na kutumia akili zako ni usenge wa hali ya juu, yani wewe hauna tofauti na changudoa pale kona bar sinza! Unewafanya wamachame na wamarangu kutofautisha kwenye mambo mengi
Ukiwa uliza wadada wa kimarangu kwanini hawaingilikiki na wamachame Watakwambia wanatokea wivu sisi wazuri wao malugha lugha kwanza hata kuvaa hawajui (ambayo ni kweli wadada wa kimachame hawajui kuvaa)
Urafiki kati ya wadada wa wakibosho na kimachame asee ni MGUMU sana
Hapo zamani za wazee, kulikuwa na vita uchagani, kati ya wamachame na kibosho, vita ilivyoisha makabila mengine wakawapatanisha, walivyowapatanisha wakaambiwa wasameheane, wamachame waliwasamehe kweli ila wakibosho nadhani hawakuwasamehe,
Basi wamachame waliwapenda sana wakibosho, siku moja wakibosho walisubiri mpaka wamachame wamelala wakawachoma moto wamachame wote wakafa kijijini, hii ni historia ya kweli na imetokea kweli kijijini moshi kilimanjaro kama una babu au bibi kamwulize!
Tangu sikuhio wamachame waliobaki wakaapa kuanzia leo na kwa mila yetu, hatuna urafiki na wakibosho, wakaweka agano la damu na maombi ya kimila pale, sijui ndio laana ikatolewa angani kwa vizazi mpaka vizazi
Tangu siku hio wamachame na wakibosho urafiki nao ni mgumu sana haupo genuine!
Na wale waliojaribu kuwa positive wakaoana waliishia kuzaa watoto walemavu, wana matizo na watoto wao walikufa baadae! Nini shida ni mila baba mila
Ila kwasabahu watoto wa 4g hawajui hizi mila wanaona kama wanaonewa au wamelogwa ila ukweli ni kukaa na wazee wanaongea ukweli wote
Kwenye ile laana ilishasema hakuna mkibosho atakuwa rafiki na mmachame na wakioana ndoa isidumu na wakizaa watoto wasikue wafe so laana inafuatilia siku zote
Kama hauamini kaulize wazee wako watakwambia ndio maana urafiki kati ya kibosho na machame huwa haipo labda mfosi ila mwisho wa siku wanaishia kubaya!
Eh Money Penny nimechoka embu twende kwa Mangi tukanywe pombe basi nipoze koo nimeongea sana leo
Manka: leo Clara pamoja na u marangu wako umeongea kweli, na Mungu akubariki kwa kuwa mkwe
Penny me nakwambiaga kila siku hawa wamarangu ndio wanaotuharibiaga mitaani wote wachaga tunaonekana mbuzi tu kumbe wala
Si unajua samaki moja akioza wanaoza woteeee
Kingine! Ukiskia ma gold diggers, sasa wadada wa kimarangu ndio gold diggers wakubwa hawana mpinzani
Money penny: nikachoka, nikaishiwa kujibu kweli Manka Kweli.
SEHEMU E: ?
OPPORTUNITY COST (GHARAMA YA FURSA)
Usilolijua ni kama usiku wa giza, nani angeweza kujua kuwa nyuma ya pazia Pendo alikuwa na mpenzi wake wa siri?
Binti wa kichaga alieichukia ndoa kuliko neno chuki, alionekana mitaa ya Jolly Club au unaweza iita Isumba Lounge kwa sasa, na KIBOPA Mume wa mtu
wazungu wanasema ukiwa na Daddy Issues (Matatizo na Baba yako) lazima utatafuta bwana ambae ni mume wa mtu kujaza nafasi ya Baba yako kukipata usichokipata kwa baba yako
Ijumaa usiku wa saa 3, Pendo alionekana Jollys Club pale Aghakan Upanga na kibopa wa nguvu, kipoba maarufu, kibopa manyotaaa, mzazi ana mawe mjini kuliko maelezo
Sasa ngoja tuangalie ilikuwaje mpaka Pendo mama msimamo, akaamua kukata uzi,
Ilikuwaje mpaka ndege mjanja wa miaka 35 akaamua kunaswa kirahisi?
https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Kwa habari za ukweli na za kuaminika toka kwenye midomo ya waliohusika; miaka 3 iliopita kwenye maisha ya Pendo na wadada wenzake, wadada wa makamo, baada ya kuona maisha yao ya sekta ya ndoa hayajawanyookea, waliunda kikundi cha kujifariji na kufanya maendeleo, walikuwa wadada wa 5, wachaga na wapare kwa ujumla! Kikundi kilikuwa kinaitwa RIPACH's(Maanake ni Rich Pare and Chaga's)
Kuna kitu kilikuwa kinakosekana kwenye maisha yao ambacho ni mapenzi na ndoa, na RIPACH'S ilikuwa kona yao ya kujifariji!
Wadada walikuwa wazuri sana sana, si unajua mademu wa kichaga walivyo wazuri na wadada wa kipare walivyo nomaa.
Ikatimia miaka 3 ya kusheherekea kuanzishwa kikundi hicho, wakaamua kujipeleka Zanzibar Vacation, kwa ajili ya mapumziko na kusheherekea birthday ya kikundi cha Ripach's
Katika maongezi na kutalii na kula na kunywa na kupiga picha na maongezi marefu Zanzibar, wakagundua kweli wanahitaji waume, wakiangalia vikundi vingine vyooote zinaozesha, vinafanya sherehe za anniversary za ndoa, vinafanya baby showers, sendoff, bridal showers, wakaamua kukata mzizi wa fitina.
Unajua Mpare bwana ni mpare tu, katika hicho kikundi alitokea Dada wa kipare na kutoa ideas mpya, ideas pasua kichwaaa, ideas za kimalaya, ideas za kukemea kama upo kwenye sehemu ya dini, ideas za kuchoma moto na kutupa kule, ideas mbayaaaaa
embu msikilize mpare alichoongea kwa kuwashauri wenzake:
Jomana: Jaman hili likundi lina nuksi, itabidi tuongezage members ambao wameolewa watutoe nuksi sasa, maana hata mabwana hatuna
Pendo: Ni kweli kabisa, huenda tukapokea upako kwa wenye ndoa, mimi najua kuna mahali tunakosea kuwajibu wanaume, mimi siamini kama hatukosi wanaume, mimi wanaume nawapata sana ila sijaelewa wapi nakosea labda katika kauli, sielewi au ni kwasababu nawachukia wanaume sana, naishia kuwajibu vibaya alafu mwisho wa siku nikija kutafakari wanakuwa wameshaondoka, nimewafukuza.
Jomana: mimi wanaume nawapata ila kwa kadri tunavyozidi kwenda tukifika karibu na mwisho wa safari wanatoweka, nimeshachumbiwa mara 3 mpaka sasa sijaolewa! naona nina nuksi kama sio ndugu sijui nifanyaje, hapa nina miaka 35 sielewi wapi nakosea, labda tukiwapata hao wake za watu huenda wakatuelekeza maana nimeshachoka
Mjumbe no 3: Hilo ni wazo zuri, lakini kuingiza watu ambao hatuwajui kwenye kikundi kwasababu tu ya kutaka kuolewe sioni kama ni suluhu, tuangalie kwanza dhima na dira ya kikundi inasemaje, kama tunataka mshauri wa ndoa tunaweza ajiri mmama akatusikiliza akatushauri tukamlipa ila kikundi hiki kumbukeni tulianzisha kwa ajili ya maisha yetu sisi single ladies, na vile tunajuana sana tangu utotoni hatuwezi kuongeza strangers watatusumbua maana hatuwajui
Mjumbe no 4: Ni kweli tumtafute tu mshauri atushauri, mama mtu mzima atusikilize wapi tunakosea akae nasi hata miezi 3 atuangalie maisha na nyendo zetu alafu atajua pa kutukosoa kwa kwanza, hamna haja ya kuweka watu wasiojulikana humu,
Mjumbe wa 5 (Mpare): Hapana mimi naona nina jicho la tofauti katika hili, niwaambie ukweli, hakuna mtu alietaka suluhu ya wanaume kama mwanamke ambae ameenda umri akaambatana na mwanamke mwenzake ili amshauri akafanikiwa
dawa ya moto ni moto, kama unataka kuolewa kaa na wanaume, wanawake sio sana, mimi kusema kweli tangu tumeachana mara ya mwisho nilifikiria sana sana kuona kwanini wadada wazuri kama sisi tuna hela, kazi, maisha mazuri hatuolewi.
Nikakaa nikatafakari nikaangalia kwanini wadada na wamama ofisini wanalalamikia ndoa zao na waume zao, nikajua tatizo ni sisi wanawake. kwanini wanaume watoke nje ya ndoa?Au na hilo hamlijui jamani? maana tusililie ndoa kumbe Mungu ndio amezuia tusiolewe, umri sio kitu hapa!
Wajumbe wote: tunajua sikuhizi wanaume wanatembeza nje kama mvua
Mjumbe wa 5: kwahiyo nikaamua kuanzia siku hio nitembee na waume za watu kwa kufanya research!
Wajumbe wote: heeeee?! huku wanashangaa, we mama imekuwaje?, wengine wanatukana we mpare mshenzi kabisa unaiba waume za watu? Acha umalaya weweee!
Mjumbe wa 5: sikilizeni nyie maboya, kama hamjui basi mnisikilize, hamna haja ya kunihukumu bila sababu!https://pseudepigraphas.blogspot.com/
Wajumbe wote: wakaanza kulalamika hatutaki laana hatutaki laana
Mjumbe no 5: jaman sikilizeni basi kwani tunagombana?
Wajumbe wote: wakakaa kimya!
Mjumbe no 5: Opportunity cost? wangapi wanakumbuka waliposomaga chuo maana ya opportunity cost?
ITAENDELEA
0 Comments:
Post a Comment