ON MY HIGH HORSES PART 3


Chombezo : On My High Horses
Sehemu Ya Tatu (3)




Gigi akafuraaaahiii nakwambiiiaaa sasa what's the plan harusi liniiii?!


Aaliyah: bado tunapanga panga ya watu wachache tu 10 ni wengi sana nataka 5 tu basi



Gigi: haina noma mama muda ukifika tutaongeaaaa bdae simu ikakatwa



Asee mzee wangu umenifurahisha mazimaaa

Yani kukweleza maliza tu kesi ya kuwatenganisha mama na baba bonge ndio umeenda extra mile namna hii uuuwi we mzee ni noumeeer ni nyoukooooor!



Mzee mlinzi: anamwangalia tu anamsikitikia kweli vichaa wametoroka milembe

Gigi akatoa mil 3 baba hii ni ya mboga tu

Mil 5 hii ni ya kwako kwa kazi njema



Basi baba naomba nikuache niendelee na michakato yangi nitakupigia sawa?!



Mzee mlinzi: sawa mama hamna neno!

Gigi akaondoka huyooo



Mzee mlinzi anamwangaliaaa anampungia na fake smile anajiangalia jinsi ya kumdhibiti Gigi kikubwa zaidi, ama kweli usilolijua ni kaka usiku wa giza sio kwa sanaa hii



Gigi akaondoka huko anamafuraha kweli kweli akaenda nyumbani kwake ni kunywa ma poumbeee kunywa manini akaskia nyege hana wa kumwita kukalia mitarimbo kama ya wazee wa kanisa kachoooka akampigia simu Best Friend, we mwana njoo hapa home kuna dharura mbaya sanaaaa

http://pseudepigraphas.blogspot.com/

Best friend wa watu akatoka mbioooo alikuwa anatokea ofisini, kufika anamkuta Gigi anakunywa amelewaaa akakaa anamsikiliza sasa labda ana la maana ndio kwaanza anamwelezea jinsi Aaliyah yupo engaged na yule baba amepewa talaka na mke wake



Best friend kavimbaaa kafuraaaaa anatamani kupasuka



Gigi: yani mishen yetu accomplished, tunaingia level ya 2 ya 3 tumeuaaa naondoka zangu kwenda americaaaa



Best friend kavinba Gigi akamkata jichoo akamfuata pale pale kwenye kochi,



Gigi: unajua Best friend haya maisha tuuu we fanya yako huku anamchum chum Best friend anamtoa Gigi kakomaa chupa za Grants chini kuleee, akamkamatiaaaaa Best friend dah aibuuuu



Gigi ndo kujitoa toa mavazi Best friend machine ishasimama



Akaamua kula na kipofu ivo ivo akambeba Gigi mpaka chumbani, hasira yooote aliokuwa nayo best friend kusikia kuhusu yule Baba Bonge na Aaliyah akahamishia

Kwa Gigi



Akambwaga kitandani bwaaaaaah Gigi mwenyewe anafurahi tu maskini anaona raha




Dah ila Best Friend alimfanya vibaya Gigi, hakuna cha kumwandaa wala nini show zote mbaya kampatia Gigi sijui ndo grants ile hakujua kama anaharibiwa

Yeleuuuwi

Best man kamkoleza huku anatoa machozi, akyanani mambo ya jaza ujazwe ya vuuum vuuum vuuum na machozi yanamtoka

uuuwi

Akamaliza Gigi keshalala,







Asbh kumekucha Gigi akaamka kiuno kinaumaaaaaaa, gadame mmh hakumbuki kitu kichwa kinaumaaa, akameza panadol kwa kujivuta sanaa ila kiuno wowowo vyauaumaaaa

Akiangalia hamna kitu kwenye shuka pasafi akarudi kulala

Kabla hajapata usingizi akakumbuka kuwa Best friend alikuja jana akamrubuni wakaenda kitandani mengine hakumbikii



Akampandia hewani uko wapi wewe


http://pseudepigraphas.blogspot.com/
Best friend: nipo kwangu



Gigi akatia timu kwake ndani ya dk 30, we malaya umeni**** sio?!



Best friend: anakataaaa



Gigi: yani we lafa tuu wewe wa kuni**** mimi sio?!



umesahau gari yako nilivyoifanya ee?!



Umenifanya ubaya sana Best Friend usitafute vita na mtu aliekufa moyo nyau wee



Basi Best friend kukumbuka ule mshike mshike wa wiki 3 ule akaamua ampigie tu magoti aombe msamaha yaisheeee



Gigi akamwangaliaaaaaa, Best friend akaona hapa bora tu wapigane mechi yaisheee



Best Friend Akambeba juu juu Gigi pale pale kwenye kochi, akampa cha kwanzaaa,



Dah best friend nae

Nomaaa anajuaaaa shughuli,

Gigi akanogewaaaaaa naniliihii mtamu jee



Wamemaliza round ya kwanza Best friend akamrudia  cha pili, mpaka wanamaliza Gigi chapa chapa kafungwa magoli 3 bilaa



Wakalala



Usiku saa 2, Gigi akashtuka akaenda kutafuta msosi kwenye fridge akalaaa akamaliza akawa anapika na kichupiii



 Best friend akaamka anaskia njaa akaingia jikoni anamkuta Gigi all hot and sexy!



Akashindwa ajue anakula msosi au gigi!



Akakaribia pale chakula kinanukia vizuri vzuri wakala kweli buana msosi nomaaa!



Akala akaongeza mara 2 akakaa sawa



Gigi akaenda kuoga si ndio washaweka hema tena na siku yenyewe jumamosi kesho wanaamkia j2 kanisani lazima washakuwa hubby and wifey



Kutoka kuoga saa 4 usiku akawa amekaa kitandani anaangalia tv,



Best friend kaja na mahaba yake kibaooo anamshika Gigi, anamwangalia tu kumbe alihesabu magoli aliofungwa Gigi mbishiiii



Wakaanza show za kikubwaaa Gigi kawekwa chini akaona aaa, akampindua kama meli ya Titanic, best friend chini Gigi juuu

Baada ya nusu saa Bezt friend kamtafuta tena mechi ikapigwa jikoni kwenye meza, kama kawa Gigi chini Best friend juuu, uzuri meza yao ya udongo haivunjiki leo wala kesho, umo umo gadame Gigi kamkatikia  weeee


Best friend anashangaa kwani Gigi kawa mtamu lini labda?!



Mechi ukaisha wakalala
http://pseudepigraphas.blogspot.com/


Saa 8 best friend kanogewa kaamsha popo tena kwa Gigi kamuwahi akaanza kuendesha farasi Best friend mpaka akakubali kushindwa - cha tatu.com



Asbh simu ya Gigi ikaita saa 2 asbh, yule Mzee mlinzi anataka kuongea nae aende, akaingia kuoga Best friend akamwibukiaaaa, akapewa cha bafuni best friend hoiii bin taaban



Gigi akamwacha amelalaaaa

Anacheka jinsi gani alivyochukua ushindi 1 bila kama simba na yanga afu Gigi yanga vile vile



Akaingia kwa mzee mlinzi saa 5 asbh



Gigi: vepee baba kunanini



Mzee mlinzi: asee mama mimi naomba nisafiri kidogo naenda hapo bondeni kupumzika maana nahisi haya yaliompata mama bonge lazima atakuwa ananitafuta



Simu nimeitupa posta mpya ila roho haina amani naomba niende nikapumzike hata miezi 3 basi nirudi na mawazo mapya



Gigi: sawa baba hamna shida



Mzee mlinzi: ila mama haya tunayofanya i hope hamna mtu atakaeumiaaa



Gigi: ah mzee vepee tenaa mbona walalamika sasa tushaongea baba vepee



Mzee mlinz: ah nishakuwa na uoga mwenzio haya mambo ya ujesusi sijazoea kabisa



Gigi: akamwangaliaaaa akajua huyu mzee ana haja akamwambia mzee embu njoo tuongee ndani, wakaingia sebuleni



Eti toilet wapi nielekeze akaelekezwa akaingia toilet chumbani kwa mzee akaenda akabandika usnichi wake na nini akamwita baba njoo choo kimeziba



Mzee mlinzi: kufika hamadi Gigi yupo na kichupi na bra sexy



Gigi: mzee sikia, mimi nakuelewa sana woga wako ngoja nikuweke sawa afu baadae nakupa jibu la woga wako



Kamkumbatia babu wa watu mpaka

kalegea akamtupa kitandani bwaa akamrukia kama maji ya swimming pool, kamnyoooshaaa babu wa watu maskini analia yeleuuuwi we Gigi unaliza mpaka vibabu vya miaka 60 sasa unataka nini?!



Mzee hajawahi pata raha kama ya Gigi, mzee mwenyewe wa kulipua kwa viagraaa ah basi tu Gigi akafanya yakeee



Mzee akalala, Gigi akaingia kumpikia na kichupi baada ya masaa 2 kampeleka msosi mzee anakula kitandani kamaliza akampa viagra akanywa wakawa wanaongea



Gigi: mzee mimi nakuelewa unahitaji mwanamke akupe nguvu wala usikate tamaa mapema nakushauri nenda bondeni pumzika jipatie mwanamke uoe ila tumia condom,



Mzee anamsikiliza keshalewa na mechi, kwaiyo mimi nakushauri kapumzike utafute mwanamke



Mzee akakubali, Gigi akamrudia round ya mwisho ya saa 4 usiku



TUONANE TAR 18 MARCH SAA 7 MCHANA YA TZ














_________________________________________________________________________________


F. MTOTO WANGU BABAKE NAMJUA MIMI

BONGE MICHELLIN


Bonge: yani huyu mjinga huyu Gigi simwelewi kabisa


Kwanza kamuua kakangu

pili kamtenganisha mama na babangu



Tatu kamfanya mpaka ex wa mume wangu kuwa engaged na babangu mzazi

http://pseudepigraphas.blogspot.com/

Asiee kama kuna uchawi basi Gigi mchawi ila mimi ndio dadake na shetani mwenyewe ibilisi la siku za mwisho huyu mtoto lazima nimsage nimgeuze jinsia akome kuchezea kambi za watu



Akachukua simu akapanda hewani



Phone: kwirriiii kwiiiriiii, kwiiiriii kwiiriiii

Halooo



Bonge: haloo habari matusi

Matusi: nzuri za kwako?

Bonge: mbaya sana

Matusi: shida nini tena mtoto mzuuuriii, watoto kama wewe adimu ujue au mume anakupa wakati mgumu mamaa? Semaaa vijana tupo kazini



Bonge: mume hana shida ananipenda sijamwona kama anachepuka tena ila kuna kimeo kimoja nataka ukifanyie kazi tafadhali..katenganisha ndoa ya wazazi wangu, kamfanya babangu kumwoa mchepukooo



Sasa kuna vimeo 3 nataka uvishughulikieee yani uwasumbue ila usiwauee maana wewe nakujua vzuri sanaaa unanogewaga hatarious, nataka uwanyime raha Tz waione chunguuu wafanyie vituko tuuuu



Matusi: sawa hio ndo kazi yangu



Bonge: wote ni akina dada, mmoja ni mchepuko wa mume wangu, mwengine ni side chic wa babangu mwengine ni mke wa marehemu wa kakangu, nisha kutumia whatsapp picha zao na namba zao za simu we fanya mchakato yani waone Dar na Tz kwa ujumla ni ngumuu mpaka waje waombe msamaha kwa wazazi wangu wote wawili na nataka wazazi wangu warudianeeee



Matusi: sawa mama ila hii kazi itahitaji pesa kibao



Bonge: sawa hamna shida, nitumie

Akaunt namba yako tafadhali ili niweze kukukamilishia mahesabu yako sawa?!

Pia kuwatomba ni rukhsaa

na kazi ianze mara moja staki ujingaaa yani kama unaweza anza sasa hivi nitashukuru



Matusi: at your service Madam anything for you



Simu ikakatwa



Bonge: akiwa anakunywa Moet yake nini akawa ana smile tu huku anashita tumbo lake tararibuuu miezi ya kijifungua ishafikaaa anasubiria



Ila sasa uyo mtoto tumboni buana, ni sheedah maana ananyweshaje mipombe kali sasa hajali sijui atatokaje



Kukakucha akina Matusi wakaanza kuzoom vibarua wao, zoom zooom zooom na wewe

Gigi akawa spotted kanisani anaimbisha mapambio, mijeda (team ya Matusi) ikaingia, walikuwa watatu wababa wa makamo wakakaa waangalia shughuli za wokovu za Bwana zinavyoendeleaaaa



Ibada ikaisha mmoja akaingia chooni wengine wakabakia kuongea ndani ya kanisa, Gigi akapita akaingia kwenye gari yake zuri ijeda inamzoom tu plate namba na nini



J2 wako ibadani wana mzoom Gigi na mumewe feki best friend waka record plate no
http://pseudepigraphas.blogspot.com/


Trip za kwenda kanisani zikapigwa wiki 3, wakapeleka report kwa boss wao matusi, wakaambiwa wasiche kwenda kanisani mpaka deal litakapoishaaa wakawa wahudhuriaji wakubwa wa vipindi cha church yaani j5 na j2 na alhamisi kwa vijana



wakapata na mabeibe humo humo, wanawa enjoooooy madem wenyewe, oh bwana ametupa wanaume wa kutuwowa wao wanacheka tu baadae wakikutana kwenye kambi yao na kupanga mikakati ya kuwatia na kuwatomba



Team ya 2 ikan spot Tausi, kupeleka taarifa wanashangaa best friend ana mcheat na Tausi wakashangaa

Wakaona kuwa hili deal lipo very interesting, wakamzoom Tausi weee wakajua anatembesha kwa baba bonge sometimes, anatembesha kwa best friend mara kwa Mark dah team nae ilikuwa noma kwenye machunguzi, wakapeleka taarifa kwa matusi the boss



Team ya 3 ikamzoom Aaliyah

Anapoishi, anaishi na babake bonge, outings zao, kila kitu chaooo, wanavyopigana mechi, wanavyoishi, mazungumzo yao, maisha yao ya kila siku,

Lakini wakashangazwa na vikao kati ya Aaliyah, Gigi na Best Friend haikuwa kawaida

wakadaka nyumba wanayokutania kila week, na muda wakajitahidi kuvuta maongezi yao gademit, wakafanikiwa wakayanasa



Oh tunakaribia kumpindua mama bonge hii kesi ya mahakama lazima ntashinda ~ akaongea Gigi

Basi gigi ndo kuhamasisha nakwambia eeh na mamake bonge nimemchezea akili mpaka talaka imetokaaa chezea mimi wewe (huku amelewa)

Akaongeaaa weee mijeda inadaka ubuyu kwenye kidude walichobandika nje ya ukuta kama bigijiii flan sawa na rangi ya ukuta kuiona ni ngumu labda mtu awe ameamuaaa

Mijeda wanarekodi kama ilivyo

Wakapanga mishen nyingine iwe ni kanisani wakalipue wawachanganyeeee mpaka ma mchungaji aseme sirii zoteeee maana ka urugwaa then cha tatu ni kesiiii mahakamani kitabu kinafungwaaaaa



Gigi: this 2nd phase of ours is a honey moon phase so plz plz plz mu enjoy maana tuna evidence kubwaaa kutoa nyoka pangoni narudi zangu Marekani



Kikao kikaahirishwaaaa

Mijeda wakapeleka ubuyu matusi akayadaka kama kawa kama dawaa



Siku Bonge anapiga simu akapelekewa kila kitu picha na convo audios alichokaaaa akamlipa matusi 10mil tsh.



Akairudia yale mazungumzo akai triplicate (mara 3)

Akamwita maza na dadake wa Marekani wakaja kuskiliza wakachokaaa ni vituukooo ni sheedah



Mama bonge: umepata wapi hivi vitu bonge jamaaa



Bonge:

Mama we acha tu mimi ndio bonge na jina langu nalipenda hivi hvi lilivyo sasa unasemaje kuhusu hili swala



Mama bonge: wewe niachie kopi yangu ingine kampe lawyer wa kesi yetu atatunza ingine kaa nayo ifiche hata mumeo usimpe maana mumeo anaonekana snitch vile vile kama hauna pa kuicha niambie nikuelekeze... unaweza kwenda bank wakakuhifadhia pamoja na mali zako na vikuku na dhahabu zako



Bonge: sawa mama hamna shida mama yangu nakupenda sana na usijalo baba atarudi tu nyumbani na kesi mtashinda



Mama bonge: akamwangalia bonge kama naive flan ivi ila akamsifu kwa ujasiri alionao hasa ukitizamia muda wowote atajifungua.. kabla hajamaliza kumjibu



Bonge akaamka, maji bwaaaaaaaaa her water broke, mama na dadake fastaaa wakampeleka Aghakhan,

Kaingizwa leba hata hajakaa sana keshajifungua mtoto wa kiume aaah mamake alifurahi at last my son is back duniani in a form of a grandson akafurahi huyooo



Dadake bonge akampigia babake bonge akaja fastaaa wanasubiri nje kuonana na Bonge, Mark wakamsahau nakwambia ndio baba bonge anakumbuka kuna mark akampandia hewani mkeo kajifungua njoo

Mark akatia timu baada ya dk 45 si unajua tena folen zetu za Dar



Muda wa kumwona mzazi ukatimia wakaingia basi kila mtu anamkumbatia eeh jaman mwacheni mzazi wa watu



ITAENDELEA


About THE STORY BOOK

0 Comments:

Post a Comment